iqna

IQNA

AYA ZA QURANI
Sura za Qur’ani Tukufu /72
Tehran (IQNA) - Majini ni viumbe vya ajabu ambavyo haviwezi kuonekana na macho yetu. Kuna hadithi nyingi na hadithi za kweli na za uwongo kuhusu majini lakini kulingana na Quran Tukufu, viumbe hawa wana baadi ya sifa zinazoshabihiana na zile za wanadamu.
Habari ID: 3476908    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24

Qur'ani Tukufu inasemaje / 20
TEHRAN (IQNA) - Mhadhiri mmoja wa Kiislamu ameashiria aya kadhaa za Qur’ani, ili kubainisha kwamba Qur’ani Tukufu imeweka msingi wa kuanzisha mahusiano na mazungumzo.
Habari ID: 3475556    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Sura za Qur'ani Tukufu /16
TEHRAN (IQNA) – Baraka za Mwenyezi Mungu hazina idadi. Wengine hutafakari juu ya neema au baraka hizo na wengine hawajali au wanapuuza.
Habari ID: 3475462    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

Sura za Qur'an/13
TEHRAN (IQNA) – Mungurumo wa radi angani ni miongoni mwa alama za ukuu wa Mwenyezi Mungu na, kwa mujibu wa aya ya 13 ya Sura Ar-Ra’ad, inamtakasa na kumhimidi Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475432    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27